Peasi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mapeasi tawini.

Peasi au pea (kutoka Kilatini pirus, kwa kupitia Kiing. pear) ni tunda la mpea lenye nyama nyeupe yenye majimaji na ladha inayofanana na ile ya tufaa (kwa Kilatini malus au "pirus malus", yaani "pea baya"), lakini tamu zaidi.

Faida za peasi[hariri | hariri chanzo]

Inadaiwa kwamba tunda hili lina faida nyingi sana kwa mwanadamu iwapo atalitumia, lakini siyo madhara haya yote yamethibitishwa na majaribio ya kisayansi.

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Peasi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.