Paulo Aureliani
Paulo Aureliani (500 hivi - 573 hivi) alikuwa mkaapweke wa Welisi, halafu mmonaki padri, na hatimaye askofu wa kwanza wa Saint-Pol-de-Léon (Bretagne, leo nchini Ufaransa)[1][2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Machi[3].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Monks of Ramsgate. “Paul de Leon”. Book of Saints, 1921. CatholicSaints.Info. 23 August 2016. Web.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/93363
- ↑ Martyrologium Romanum, 2004, Vatican Press (Typis Vaticanis).
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Gilbert Hunter Doble (1971). Lives of the Welsh Saints.
- Gilbert Hunter Doble (1960) The Saints of Cornwall: part 1. Truro, UK: Dean and Chapter; pp. 10–60
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |