Nenda kwa yaliyomo

Paul Sanchez (askofu)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Paul Robert Sanchez (alizaliwa 26 Novemba 1946) ni askofu wa Kanisa Katoliki kutoka Marekani.

Alihudumu kama askofu msaidizi wa Jimbo Katoliki la Brooklyn, New York City, kuanzia mwaka 2012 hadi 2022.[1]

  1. "Most Rev. Paul R. Sanchez, D.D., Auxiliary Bishop Emeritus of Brooklyn". Diocese of Brooklyn (kwa American English). 2001-06-06. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-11-10. Iliwekwa mnamo 2023-11-10.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.