Paul Melchers
Mandhari

Paul Melchers (6 Januari 1813 – 14 Desemba 1895) alikuwa Kardinali na Askofu Mkuu wa Köln.
Wakati wa kilele cha mgogoro wa Kulturkampf, alikimbilia Uholanzi kutafuta hifadhi.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |