Patroklo wa Troyes
Mandhari
Patroklo wa Troyes (pia: Patroccus, Patroclus, Patroklus, Parre; alifariki takriban 259) alikuwa Mkristo tajiri mkarimu wa mji huo, Galia (leo nchini Ufaransa) katika karne ya 3.
Alifia dini yake wakati wa dhuluma ya Dola la Roma, chini ya utawala wa kaisari Aurelian.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake ni 21 Januari[1].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Saints Index: Patroclus Ilihifadhiwa 24 Oktoba 2007 kwenye Wayback Machine.
- Catholic Online: Patroclus
- Holy Trinity Orthodox: Patroclus
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |