Papa Tawadros II
Mandhari

Papa Tawadros II (Papa Abba Theódōros II; البابا تواضروس الثانى: alizaliwa Damanhur, 4 Novemba 1952) ni Patriarki wa 118 wa Aleksandria katika Kanisa la Kiorthodoksi la Kikopti tangu tarehe 18 Novemba 2012 (9 Hathor 1729).[1]
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Bishop Tawadros new pope of Egypt's Coptic Christians". BBC News. 4 Novemba 2012. Iliwekwa mnamo 4 Novemba 2012.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Alitanguliwa na Shenouda III |
Papa wa Wakopti 2012–sasa |
Incumbent |
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |