Papa Alexander I
Mandhari

Papa Alexander I alikuwa Papa kuanzia takriban 108/109 hadi kifo chake takriban 116/119[1]. Alitokea Roma, Italia[2].
Alimfuata Papa Evaristus akafuatwa na Papa Sixtus I.
Taarifa mbalimbali zinadokeza kuwa Alexander alichangia sana ustawi wa liturujia na jimbo kwa jumla.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu, pengine mfiadini, ingawa hatajwi tena katika Martyrologium Romanum.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
- Orodha ya Mapapa
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Benedict XVI. The Roman Martyrology. Gardners Books, 2007. ISBN 9780548133743.
- Chapman, John. Studies on the Early Papacy. Port Washington, NY: Kennikat Press, 1971. ISBN 9781901157604
- Fortescue, Adrian, and Scott M. P. Reid. The Early Papacy: To the Synod of Chalcedon in 451. Southampton: Saint Austin Press, 1997. ISBN 9781901157604.
- Jowett, George F. The Drama of the Lost Disciples. London: Covenant Pub. Co, 1968. OCLC 7181392
- Loomis, Louise Ropes. The Book of Popes (Liber Pontificalis). Merchantville, NJ: Evolution Publishing. ISBN 1889758868