Paolucho Trinci
Mandhari
Paolucho Trinci (Foligno, 1309 - Foligno, 17 Septemba 1391) alikuwa mtawa wa shirika la Ndugu Wadogo katika Kanisa Katoliki.
Alianzisha urekebisho wa Waoservanti wa shirika hilo [1].
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://www.menotre.it/Vita%20di%20Paoluccio%20Trinci.htm Il beato Paoluccio Trinci.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Lodovico Jacobilli, Vita del beato Paolo, detto Paoluccio de' Trinci da Fuligno, Foligno, 1627.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |