Othman Masoud Sharif
Mandhari
| Wadhifa | Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar |
|---|---|
| Kuanza kwa kipindi | 2 Machi 2021 |
| Raisi | Hussein Mwinyi |
| Mtangulizi | Seif Sharif Hamad |
| Mahali pa kuzaliwa | Pemba, Zanzibar |
| Taifa | Mtanzania |
| Chama cha kisiasa | ACT-Wazalendo |
| Mke | Zainab Shaib Kombo |
| Watoto | Imran Othman Masoud, Rauhiyyah Othman Masoud, Asya Othman Masoud, Shaymaa Othman Masoud, Rubina Othman Masoud, Masoud Othman Masoud, Khalil Othman Masoud, Tajmeel Othman Masoud |
| Elimu | UDSM University of London University of Turin |
| Taaluma | Mwanasheria |
Othman Masoud Othman Sharif ni wakili na mwanasiasa wa Tanzania anayehudumu kama Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar. Pia ni mwanachama wa chama cha ACT Wazalendo.[1][2][3]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Masoud Othman new first Vice President". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-04-18. Iliwekwa mnamo 2025-09-14.
- ↑ "President Mwinyi appoints Othman Masoud Othman as new first Vice President". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-04-18. Iliwekwa mnamo 2025-09-14.
- ↑ "African Network of Constitutional Lawyers Profile". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-04-18. Iliwekwa mnamo 2025-09-14.
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Othman Masoud Sharif kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |