Orodha ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa Kiashiria cha Maendeleo ya Binadamu
Mandhari


Dunia Kenya Uganda Rwanda Tanzania
Hii ni Orodha ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa Kiashiria cha Maendeleo ya Binadamu . Kenya ndiyo nchi iliyo na maendeleo ya binadamu ya juu zaidi ikifuatwa na Uganda, Rwanda na Tanzania. Sudan Kusini na Somalia ndizo zilizokuwa na maendeleo ya binadamu ya chini zaidi. Jumuiya ya Afrika Mashariki ilikuwa na Kiashiria maendeleo ya binadamu 0.512 na Kuwa katika kundi la chini. [1]
| Nafasi | Nchi | HDI |
|---|---|---|
| Maendeleo ya Kati | ||
| 1 | 0.628 | |
| 2 | 0.582 | |
| 3 | 0.575 | |
| 4 | 0.555 | |
| Maendeleo ya Chini | ||
| 5 | 0.522 | |
| 0.512 | ||
| 6 | 0.439 | |
| 7 | 0.404 | |
| 8 | 0.308 | |
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ UNDP. "Hdi of countries" (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2025-03-17.