Nenda kwa yaliyomo

Orodha ya miji ya Guinea-Bissau

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Guinea-Bissau.
Barabara kuu ya Bissau, mji mkuu wa Guinea-Bissau.

Orodha ya miji ya Guinea-Bissau inataja miji ya Guinea Bisau yenye idadi ya wakazi iliyozidi 5,000 wakati wa sensa ya mwaka 2009.

Miji ya Guinea-Bissau
Nafasi Jina Wakazi
(sensa ya 2009)[1]
Mkoa
1 Bissau 387,909 Bissau
2 Gabú 43,556 Gabú
3 Bafatá 29,556 Bafatá
4 Canchungo 12,044 Cacheu
5 Bissorã 9,898 Oio
6 Farim 9,005 Oio
7 Mansôa 8,313 Oio
8 Buba 7,898 Quinara
9 Cacheu 5,891 Cacheu
10 Quinhámel 5,825 Biombo
11 Quebo 5,454 Quinara
12 Catió 5,081 Tombali
13 Bolama 5,026 Bolama
  1. "Guinea-Bissau: Regions, Cities & Urban Localities – Population Statistics, Maps, Charts, Weather and Web Information".