Nenda kwa yaliyomo

Orodha ya Waafrika tajiri zaidi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Orodha ya Waafrika tajiri zaidi (The Richest Africans) inataja kila mwaka matajiri wakubwa kabisa wa Afrika; inaandaliwa na kuchapishwa na gazeti la biashara la Marekani Forbes. Orodha hii imekuwa ikichapishwa toka mwaka 2015.

Mwanzilishi wa Dangote Group, Aliko Dangote, ndiye namba moja kwenye orodha ya 2018.[1] kati ya mabilionea 23 wa Afrika waliokuwepo kwenye orodha hiyo.[2]

Orodha ya kila mwaka

[hariri | hariri chanzo]
Na. Jina Utajiri (USD) Umri Utaifa Chanzo cha utajiri
1 Aliko Dangote$10.7 billion 61Bendera ya Nigeria NigeriaDangote Industries.[3]
2 Nicky Oppenheimer$8.8 billion 73Bendera ya Afrika Kusini Afrika Kusinidiamonds, gold
3 decreaseJohann Rupert$7.2 billion 68Bendera ya Afrika Kusini Afrika KusiniTelmex, Richemont
4 Nassef Sawiris$6.8 billion 57Bendera ya Misri MisriOrascom
5 Mike Adenuga$5.3 billion 65Bendera ya Nigeria NigeriaGlobacom
6 Issad Rebrab$4 billion 74Bendera ya Aljeria AljeriaCEVITAL Group
7 Naguib Sawiris$4 billion 64Bendera ya Misri MisriOrascom
8 Koos Bekker$2.8 billion 65Bendera ya Afrika Kusini Afrika KusiniNaspers
9 Isabel dos Santos$2.7 billion 45Bendera ya Angola AngolaInvestments
10 Mohamed Mansour$2.7 billion 70Bendera ya Misri MisriMansour Group
  1. Papadopoulos, Anna (22 Oktoba 2018). "Africa's Billionaires: Top 25 Richest People In Africa, 2018". CEOWORLD magazine. Iliwekwa mnamo 5 Juni 2019.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Dolan, Kerry A. (10 Januari 2018). "African Billionaire Fortunes Rise On Forbes 2018 List Of Continent's Richest". Forbes. Iliwekwa mnamo 5 Juni 2019.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. Anon (n.d.). "Aliko Dangote". Forbes. Iliwekwa mnamo 5 Juni 2019.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]