Nenda kwa yaliyomo

Kanisa Katoliki nchini Ufilipino

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Papa Leo XIV
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Kanisa Katoliki nchini Ufilipino ndiyo madhehebu makubwa zaidi ya kidini nchini humo na lina idadi kubwa ya Wakatoliki kuliko karibu zote duniani.

Imani ya Kikatoliki ililetwa nchini Ufilipino na wamisionari kutoka Uhispania katika karne ya 16.

Takriban miaka 400 baadaye, mnamo mwaka 1960, Rufino J. Santos, Askofu Mkuu wa Manila, akawa Mfilipino wa kwanza kuwa kardinali. Tangu wakati huo, jumla ya Wafilipino kumi wameinuliwa katika hadhi ya kardinali.

Mnamo Mei 1, 2020, Luis Antonio G. Tagle, Pro-Prefekti wa Sehemu ya Uinjilishaji wa Kwanza katika Idara ya Uinjilishaji, alipandishwa kuwa kardinali-askofu. Yeye ndiye Mfilipino wa kwanza kushika cheo cha juu zaidi cha kardinali katika Kanisa Katoliki.[1]

  1. "Pope Francis promotes Cardinal Tagle to rank of Cardinal-Bishop". CNN Philippines. 1 Mei 2020. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Juni 24, 2021. Iliwekwa mnamo 21 Juni 2021.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kanisa Katoliki nchini Ufilipino kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.