Orodha ya Ngolas wa Ndongo
Mandhari
Orodha ifuatayo ni orodha isiyokamilika ya Ngola (yaani watawala) wa Ufalme wa Ndongo, mojawapo ya falme za kabla ya ukoloni zilizokuwepo katika Afrika ya Magharibi ya Kati, katika eneo ambalo sasa linajulikana kama Angola.
Cheo kamili cha kifalme cha waliotawala Wambundu wa Kaskazini katika Ufalme wa Ndongo kilikuwa Ngola a Kilanje. Ufalme huo ulipakana na Ufalme wa Kongo upande wa kaskazini, na ulikuwa kusini mwa Kongo.
Baada ya kuanguka kwa Ufalme wa Ndongo, nasaba ya mwisho ya kifalme ilihamia mashariki, katika Ufalme wa Matamba, ambako waliendelea kutawala kwa uhuru hadi takribani mwaka 1741.[1]
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Njinga of Angola: Africa's Warrior Queen, Linda M. Heywood
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |