Orodha ya Marais wa Misri
Jump to navigation
Jump to search
Orodha hii inataja marais wa Misri tangu kutangaza jamhuri tarehe 18 Juni 1953:
Ali Muhammad Nagib | 18 Juni 1953 – 14 Novemba 1954 |
Gamal Abdel Nasser | 14 Novemba 1954 – 28 Septemba 1970 |
Anwar as-Sadat | 28 Septemba 1970 – 6 Oktoba 1981 |
Sufi Abu Taleb | 6 Oktoba 1981 – 14 Oktoba 1981 (mtendaji tu) |
Muhammad Hosni Mubarak | 14 Oktoba 1981 - 2011 |