OpenStreetMap

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
OpenStreetMap Logo
OpenStreetMap Cape Town
GPS

OpenStreetMap (OSM) ni mradi shirikishi wa uundaji wa ramani haririfu na huria ya dunia. Ramani zinaumbwa kwa kutumia data kutoka kwenye kachombo kadogo cha mfumo wa GPS, yaani inachukua picha za hewani na vyanzo vingine huria.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: