Mzeru Omari Nibuka
(Elekezwa kutoka Omari Mzeru Nibuka)
Mzeru Omari Nibuka (amezaliwa tar. 10 Mei 1954) ni mbunge wa jimbo la Morogoro Mjini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Mengi kuhusu Mzeru Omari Nibuka (19 Julai 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |