Omar Shabani Kwaangw'

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Omar Shabani Kwaangw' (amezaliwa tar. 2 Julai 1954) ni mbunge wa jimbo la Babati Mashariki katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Omar Shabani Kwaangw'". 17 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011. 

Viungo vya nnje[hariri | hariri chanzo]