Nenda kwa yaliyomo

Olimpia wa Konstantinopoli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Mt. Olimpia.

Olimpia wa Konstantinopoli (pia: Olimpia Kijana[1] ; Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 361 hivi - Nikomedia, leo nchini Uturuki, 25 Julai 408) alikuwa mwanamke wa ukoo maarufu ambaye, baada ya kubaki mjane bado kijana, aliishi kitawa na kusaidia maskini.

Hatimaye alifukuzwa na serikali na kufia uhamishoni kwa sababu ya kumuunga mkono askofu Yohane Krisostomo[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Julai[3].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. Smith, A Dictionary of Christian Biography, Literature, Sects and Doctrines N to S Part Seven, p.73
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/81900
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo ya Kiswahili

[hariri | hariri chanzo]
  • John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 442-444
  • Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 383

Marejeo ya lugha nyingine

[hariri | hariri chanzo]
  • A.H.M. Jones, J.R. Martindale & J. Morris, The Prosopography of the Later Roman Empire: Volume 1, AD 260-395, Cambridge University Press, 1971
  • P. Moret & B. Cabouret, Sertorius, Libanios, iconographie: a propos de Sertorius, journée d'étude, Toulouse, 7 avril 2000 [suivi de] autour de Libanios, culture et société dans l'antiquité tardive : actes de la table ronde, Avignon, 27 avril 2000, Presses Univ. du Mirail, 2003
  • E.A. Wallis Budge, Paradise of the Holy Fathers Part 1, Kessinger Publishing, 2003
  • W. Smith & H. Wace, A Dictionary of Christian Biography, Literature, Sects and Doctrines N to S Part Seven, Kessinger Publishing, 2004
  • Selected Letters of Libanius: From the Age of Constantius and Julian, Liverpool University Press, 2004

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.