Odo wa Cluny
Mandhari

Odo wa Cluny (kwa Kifaransa: Odon; Deols, karibu na Le Mans, 880 hivi – 18 Novemba 942) alikuwa abati wa pili wa monasteri ya Cluny.
Aliendeleza urekebisho huo wa Wabenedikto nchini Ufaransa na Italia[1][2] kwa kufuata kanuni ya Mt. Benedikto na nidhamu ya Benedikto wa Aniane[3].
Habari zake zinapatikana katika kitabu Vita Odonis kilichoandikwa na Yohane wa Salerno, mwanafunzi wake.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake, 18 Novemba[4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Löffler, Klemens. "St. Odo." The Catholic Encyclopedia Vol. 11. New York: Robert Appleton Company, 1911. 6 November 2017
- ↑ Pope Benedict XVI. "Saint Odo of Cluny", General Audience, 2 September 2009, Libreria Editrice Vaticana
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/78200
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Schoolmasters of the Tenth Century. Cora E.Lutz. Archon Books 1977.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Odo of Cluny Ilihifadhiwa 17 Mei 2008 kwenye Wayback Machine. at Patron Saints Index
- The Life of Saint Gerald of Aurillac by Odo of Cluny, trans. Gerald Sitwell, O.S.B. (Google Books)
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
