Obiwon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Obiora Nwokolobia-Agu (alizaliwa 9 Juni 1977), [1] anayejulikana zaidi kwa jina lake la kisanii Obiora Obiwon, ni mwimbaji wa Nigeria, mwanamuziki, mtunzi wa nyimbo, msanii wa kurekodi, waziri wa muziki na mwinjilisti .

Maisha binafsi[hariri | hariri chanzo]

Obiwon alifunga ndoa na Nkechi Obioma Ezeife tarehe 22 Oktoba 2011. Wanandoa hao wana binti Nmesioma, Michelle aliyezaliwa tarehe 4 Septemba 2012 [2] na pia mtoto wa kiume Chimdalu, Michael aliyezaliwa tarehe 23 Septemba 2014.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Obiwon returns with "testify"", 13 July 2013. 
  2. Agunanna, Chilee (14 September 2012). "Obiwon welcomes baby girl". DSTV. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2014-03-18. Iliwekwa mnamo 17 March 2014.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Obiwon kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.