Nyati-maji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 19:59, 22 Novemba 2014 na Rberetta (majadiliano | michango) (Ondoa nususpishi Bubalus bubalis arnee.)
(tofauti) ← Pitio lililotangulia | Toleo la sasa (tofauti) | Pitio linalofuata → (tofauti)
Nyati-maji
Nyati-maji wa kike na ndama (Bubalus bubalis)
Nyati-maji wa kike na ndama
(Bubalus bubalis)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Artiodactyla (Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)
Nusuoda: Ruminantia (Wanyama wanaocheua)
Familia: Bovidae (Wanyama walio na mnasaba na ng'ombe)
J. E. Gray, 1821
Nusufamilia: Bovinae (Wanyama wanaofanana na ng'ombe)
Jenasi: Bubalus (Wanyama kama nyati-maji)
C. H. Smith, 1827
Spishi: B. Bubalis (Nyati-maji)
(Linnaeus, 1758)
Ngazi za chini

Nususpishi 5:

B. b. bubalis (Linnaeus, 1758)
B. b. fulvus (Blanford, 1891)
B. b. kerabau Fitzinger, 1860
B. b. migona Deraniyagala, 1952
B. b. theerapati Groves, 1996

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nyati-maji ni mnyama mkubwa anayejulikana sana, aliye wa spishi Bubalus bubalis katika nusufamilia Bovinae. Spishi hii ina nususpishi tano ndani yake:

  • B. b. bubalis (Nyati-maji)
  • B. b. fulvus
  • B. b. kerabau
  • B. b. migona
  • B. b. theerapati

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nyati-maji kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.