Nukta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 23:39, 22 Novemba 2016 na Kipala (majadiliano | michango) (+picha)

Kwa nukta kama kipimo cha wakati angalia sekunde

Picha iliyochorwa kwa kutumia nukta tu.
(Kama nukta inachorwa inaonekana kama duara ndogo)

Nukta (kutoka Kiarabu نقطة, nuqta; kwa Kiingereza: point) katika elimu ya hisabati na jiografia ni kitu au mahali bila urefu wala upana, yaani bila eneo lolote.

Nukta haina pande wala haiwezi kugawiwa.

Kwa lugha ya jiometria inaweza kuelezwa pia kuwa duara yenye kipenyo cha 0.

Lakini ina mahali panapoweza kutajwa.

Tanbihi

Marejeo

  • Clarke, Bowman, 1985, "Individuals and Points," Notre Dame Journal of Formal Logic 26: 61–75.
  • De Laguna, T., 1922, "Point, line and surface as sets of solids," The Journal of Philosophy 19: 449–61.
  • Gerla, G., 1995, "Pointless Geometries" in Buekenhout, F., Kantor, W. eds., Handbook of incidence geometry: buildings and foundations. North-Holland: 1015–31.
  • Whitehead, A. N., 1919. An Enquiry Concerning the Principles of Natural Knowledge. Cambridge Univ. Press. 2nd ed., 1925.
  • Whitehead, A. N., 1920. The Concept of Nature. Cambridge Univ. Press. 2004 paperback, Prometheus Books. Being the 1919 Tarner Lectures delivered at Trinity College.
  • Whitehead, A. N., 1979 (1929). Process and Reality. Free Press.

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nukta kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.