Nkechi Egbe
Mandhari
| Nkechi Egbe | |
| Amezaliwa | 5 Februari 1978 Nigeria |
|---|---|
| Nchi | Nigeria |
| Kazi yake | Mchezaji Soka |
Nkechi Egbe (alizaliwa 5 Februari, 1978) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa wanawake wa zamani kutoka nchini Nigeria.
Egbe alicheza katika klabu ya mpira ya Delta Queens na timu ya taifa ya wanawake ya nchini Nigeria na katika mashindano ya michezo ya Olimpiki ya mwaka 2004.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Olympic Women's Football Tournaments Athens 2004 – Squad List: Nigeria (NGR)". FIFA. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-09-07. Iliwekwa mnamo 2 Oktoba 2015.
{{cite news}}:|archive-date=/|archive-url=timestamp mismatch; 2013-01-28 suggested (help); More than one of|archiveurl=na|archive-url=specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Nkechi Egbe kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |