Nenda kwa yaliyomo

Nishani na Medali za Tanzania

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mfumo wa Kutunuku na Kuenzi wa Tanzania unajumuisha nishani na medali zinazotolewa kwa utumishi uliotukuka kwa taifa. Hutolewa na Rais wa Tanzania katika sikukuu za kitaifa.

Nishani ya Mwenge wa Kilimanjaro
Nishani Darasa Jina la ndani kwa Kiswahili
Nishani ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
I–IV Nishani ya Mwenge wa Uhuru
Nishani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
I–III Nishani ya Azimio la Arusha
Medal Utepe Aina
Nishani ya Ujasiri Jeshi
Nishani ya Ushujaa Jeshi
Polisi
Nishani ya Ushupavu Jeshi
Nishani ya Utumishi uliotukuka Jeshi
Polisi
Magereza
Nishani ya Utumishi wa muda Mrefu na Maadili Mema Raia
Jeshi
Polisi
Magereza
Nishani ya Muungano Jeshi
Polisi
Magereza
Nishani ya Zimbabwe
Nishani ya Uhuru wa Tanganyika Kiraia
Jeshi
Polisi
Magereza
Nishani ya Jamuhuri Kiraia
Jeshi
Polisi
Magereza
Nishani ya Utumishi Mrefu Jeshi
Polisi
Magereza
Nishani ya Mapinduzi Kiraia
Polisi
Nishani ya Utunzaji wa Mazingira
Kiraia
Nishani ya Ugunduzi na Utafiti wa Kisanyansi
Kiraia
Nishani ya Sanaa na Michezo Kiraia
Nishani ya Uzalishaji Mali Bora Kiraia

Medali za Vita

[hariri | hariri chanzo]
Medali Imeanzishwa
Medali ya Vita
1979
1979
Medali ya Kagera 1979
1979
Medali ya Anjouan 2008
2008

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]