Nina Norshie
Mandhari
Nina Norshie (alizaliwa 14 Septemba, 2001) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa wanawake kutoka nchini Ghana anayekipiga kama beki kwa timu ya Florida State Seminoles na timu ya taifa ya Ghana.
Norshie alianza taaluma yake akiwa na klabu ya Valued Girls na alikuwa sehemu ya kikosi cha vijana wa chini ya umri wa miaka 17 cha Ghana kati ya mwaka 2015 na 2019.[1][2][3]
Mwezi Februari 2019, Norshie pamoja na wachezaji wawili wengine kutoka Valued Girls walisainiwa kwa mkopo wa miezi sita na klabu ya Nigeria, Edo Queens.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Black Maidens deputy captain Nina Norshie, two others join Edo Queens of Nigeria on loan". GhanaSoccernet (kwa Kiingereza). 2019-02-19. Iliwekwa mnamo 2021-10-05.
- ↑ "Narrow loss for Immigration Ladies". Ghanaian Times. 18 Januari 2021. Iliwekwa mnamo 5 Oktoba 2021.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Ali, Ayishatu Zakaria (18 Januari 2021). "2021 Women's Premier League wrap-up: Mukarama bags hat-trick as Berry Ladies beat Immigration Ladies". Happy Ghana (kwa American English). Iliwekwa mnamo 5 Oktoba 2021.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Nina Norshie kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |