Nenda kwa yaliyomo

Nicole Flint

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nicole Flint (alizaliwa 15 Mei 1988) ni mtangazaji wa televisheni, mwanamitindo, mtaalamu wa mahusiano ya umma na mshindi wa taji la urembo kutoka Afrika Kusini, aliyetwaa taji la Miss South Africa 2009.[1][2][3]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nicole Flint kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.