Nenda kwa yaliyomo

Ndugu Leo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ndugu Leo, Rothenburg ob der Tauber).
Jan van Eyck, Madonda matakatifu ya Mt. Fransisko (Jan van Eyck, 1430-32; Philadelphia Museum of Art). Ndugu Leo yupo kulia mwambani.

Ndugu Leo (alifariki Assisi, 15 Novemba 1271) alikuwa mmojawapo kati ya wafuasi wa Fransisko wa Asizi walioongozana naye zaidi [1][2] kama karani na muungamishi wake [3] .

Kaburi lake linakabiliana na lile la Fransisko chini ya altare ya Basilika lake.

Kumbukumbu zilizoandikwa za padri huyo zimechangia sana vitabu mbalimbali kama vile Ngano za Wenzi Watatu[4].

  1. "McCloskey ofm, Pat. "Helping Brother Leo", Franciscan Media". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-08-14. Iliwekwa mnamo 2025-02-17.
  2. Robinson, Paschal. "Brother Leo." The Catholic Encyclopedia Vol. 9. New York: Robert Appleton Company, 1910. 28 December 2019
  3. Arnald of Sarrant, Chronicle of the Twenty-Four Generals of the Order of Friars Minor, trans. Noel Muscat, OFM (TAU Franciscan Communications, 2010).
  4. Goff, Jacques Le (2004). Saint Francis of Assisi. Psychology Press. ku. 22–24. ISBN 978-0-415-28473-8.