Nenda kwa yaliyomo

Nasaba ya Joseon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uenezi wa nasaba ya Joseon.

Nasaba ya Joseon (pia: Chosun) ilikuwa nasaba ya Korea iliyotawala miaka 505, kuanzia mwaka 1392 hadi 1897[1][2].

Iliunga mkono Ukonfusio dhidi ya Ubuddha na Ukristo. Wafuasi wa dini hizo mbili, hasa ya pili, walidhulumiwa pengine kwa ukatili mkubwa.

Angalia pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. "Japan–South Korea Joint History Research Project" https://www.jkcf.or.jp/wordpress/wp-content/uploads/2019/11/3-03j.pdf Archived Mei 8, 2024, at the Wayback Machine
  2. "Was Korea Ever a Part of China?: A Historical Review". The Institute of Foreign Affairs and National Security (외교안보연구소).

Marejeo mengine

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nasaba ya Joseon kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.