Narno wa Bergamo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Carlo Ceresa, Mt. Narno Askofu, Villa d'Ogna, Bergamo.

Narno wa Bergamo (alifariki 345 hivi) anakumbukwa kama askofu wa kwanza wa Bergamo (Italia Kaskazini).

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Agosti.[1]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.