Nenda kwa yaliyomo

Nandi (mama wa Shaka)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nandi KaBhebhe (176010 Oktoba 1827) alikuwa binti wa Bhebhe, aliyekuwa chifu wa Elangeni na mama yake Shaka kaSenzangakhona, Mfalme wa Wazulu. [1][2][3][4][5]

Malkia Nandi Bhebhe alizaliwa huko Melmoth mnamo mwaka 1760. Baba yake alikuwa chifu wa watu wa Elangeni (Mhlongo)

  1. Shamase, M. Z. (25 Julai 2014). "The royal women of the Zulu monarchy through the keyhole of oral history: Queens Nandi (C. 1764 – c.1827) and Monase (C. 1797 – 1880)". Inkanyiso: Journal of Humanities and Social Sciences. 6 (1): 1–14.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Julian Cobbing. "The Mfecane as Alibi: Thoughts on Dithakong and Mbolompo". Journal of African History, 29, 1988.
  3. Ian Knight (2011), Zulu Rising: The Epic Story of iSandlwana and Rorke's Drift
  4. Carolyn Anne Hamilton, (1992) The Character and Objects of Chaka': A Reconsideration of the Making of Shaka as 'Mfecane' Motor, The Journal of African History, Vol. 33, No. 1, pp. 37-63.
  5. Manfred F. R. Kets de Vries (2005), Lessons on Leadership by Terror: Finding Shaka Zulu in the Attic
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nandi (mama wa Shaka) kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.