Nenda kwa yaliyomo

Nandi (mama wa Shaka)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nandi KaBhebhe (c. 1760 – 10 Oktoba 1827) alikuwa binti wa Bhebhe, aliekuwa chifu wa zamani Elangeni na mama yake Shaka kaSenzangakhona, Mfalme wa Wazulu. [1]

Malkia Nandi Bhebhe alizaliwa huko Melmoth mnamo mwaka 1760. Baba yake alikuwa chifu wa watu wa Elangeni (Mhlongo).

  1. Shamase, M. Z. (25 Julai 2014). "The royal women of the Zulu monarchy through the keyhole of oral history: Queens Nandi (C. 1764 – c.1827) and Monase (C. 1797 – 1880)". Inkanyiso: Journal of Humanities and Social Sciences. 6 (1): 1–14.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link)