Mwaka wa Kimataifa wa Wanawake

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mwaka wa Kimataifa wa Wanawake (kwa Kiingereza International Women's Year) ulianzishwa na Umoja wa Mataifa mwaka 1975, ukisherehekea 8 Machi, Siku ya Wanawake Duniani.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "International Women's Day". UN.org. United Nations.