Mwaka wa Kimataifa wa Wanawake
Mwaka wa Kimataifa wa Wanawake (kwa Kiingereza International Women's Year) ulianzishwa na Umoja wa Mataifa mwaka 1975, ukisherehekea 8 Machi, Siku ya Wanawake Duniani.[1]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
- ↑ "International Women's Day". UN.org. United Nations.