Mwadini Abbas Jecha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mwadini Abass Jecha)

Mwadini Abbas Jecha (amezaliwa tar. 15 Oktoba 1959) ni Mbunge wa jimbo la Wete katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CUF.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Mwadini Abass Jecha". 19 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-05-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011. 
  2. https://peoplepill.com/people/mwadini-abbas-jecha/

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]