Muziki wa Lesotho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bendera ya Lesotho.

Lesotho ni taifa la Kusini mwa Afrika linalozungukwa na jamhuri ya Afrika Kusini. Kundi kubwa la kabila ni la Basotho. Utamaduni wa Basotho umezama katika tamaduni za muziki.

Makala hii kuhusu "Muziki wa Lesotho" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema.