Munyu
Munyu ni aina ya chumvi ambayo kwa jina lingine huitwa chumvi ya mezani kwa sababu hutumika sana kuleta ladha katika chakula na hutuongezea madini chumvi mwilini.
Chumvi hii huwa na matumizi mengine mengi katika maisha ya kila siku, kwa mfano katika kuhifadhi vyakula mbalimbali, ngozi n.k.
Aina hii ya chumvi kisayansi huitwa kloridi ya natiri (sodium chloride) na huwakilishwa na simboli NaCl.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Munyu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |