Muhammad Amour Chomboh
(Elekezwa kutoka Muhammad Chomboh)
Muhammad Amour Chomboh (amezaliwa tar. 25 Januari 1953 sehemu ya Makunduchi kisiwani mwa Zanzibar) ni mbunge wa jimbo la Magomeni katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Maisha yake[hariri | hariri chanzo]
Mh. Chomboh ni Mwislamu wa aina ya Sunni. Ameoa na wana watoto wanane.
Historia ya kazi yake[hariri | hariri chanzo]
Jina la kampuni | Cheo | Kuanzia | Hadi |
---|---|---|---|
|
Meneja wa stoo | 1972 | 1979 |
|
Mkurugenzi | 1986 | 1990 |
|
Mkurugenzi | 1991 | 1994 |
|
Meneja wa Tawi (Znz) | 1994 | 1999 |
|
Meneja wa Fedha | 2000 | 2005 |
|
Mbunge kutoka Magomeni | 2005 | 2015 |
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Mengi kuhusu Muhammad Amour Chomboh". 19 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-05-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
- Tovuti ya Mh. Chomboh binafsi[dead link]
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |