Mtumiaji:SHEDRACK MKOTIA/ukurasa wa majaribio
Mandhari
The United Africa University of Tanzania (UAUT) ni chuo kikuu binafsi cha Kikristo kilichopo katika kata ya Vijibweni, Wilaya ya Kigamboni, Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania. Kimeanzishwa na Misheni ya Kanisa la Korea na kiko jijini Dar es Salaam.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Recognised_Universities_Colleges_Centres.pdf