Nenda kwa yaliyomo

Mtumiaji:Noelmsimbe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Zama za Mwangaza (au Falsafa ya mwangaza au Mwangaza au Wakati wa akili) ni jina la vuguvugu la kiutamaduni hasa katika karne ya 18 barani Ulaya.

Kituo chake kikuu kilikuwa nchini Ufaransa kikiongozwa na wanafalsafa wawili ambao ni Voltaire na Denis Diderot. Huyo alieneza azimio la mwangaza kwa kutumia mfululizo wa Encyclopédie, kitabu kikubwa cha kwanza cha kumbukumbu.

Azimio muhimu zaidi la mwangaza lilikuwa ni kuamini watu kwa sababu. Watu wote wana uwezo wa kujifikiria. Kwa hiyo, mtu hapaswi kuamini vitu kwa nguvu ya kimamlaka. Watu hawatakiwi kuamini kinachofundishwa na Kanisa wala kile anachofundisha mchungaji.

Azimio lingine muhimu ni kwamba jamii imeendelea vyema kwamba wanachama wake wote wana vyeo sawa tu, hamna ubaguzi, wanashirikiana sawa tu katika usanifu.