Nenda kwa yaliyomo

Mtumiaji:Malcolm336329

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Godfrey Beldon Mwambungu (anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama Malcolm; amezaliwa Mbeya, Tanzania, 01 November 1996) ni Mpiga picha wa Miradi mbalimbali na mtayarishaji wa video kutoka nchini Tanzania. Ni mmoja kati ya watu walioanzisha DxMedia.

Malcolm
Taarifa za awali
Jina la kuzaliwa Godfrey Beldon
Pia anajulikana kama Malcolm
Amezaliwa 01 November 1996

Mbeya, Tanzania

Chimbuko Mbeya, Tanzania
Aina ya pich Photo journalism
Kazi yake Photographer, Director, Editor, Advertising agency
Kazi Camera, Microphone, Computer
Miaka ya kazi 2016 - sasa
Studio DxMedia
Ameshirikiana na Studio Native, Ts media, Mashada Inc, Empower Youth Prosperity (EYP), Kusini Trade fair & Festival (KITF)