Mtumiaji:Kipala/Astropics350

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ukurasa huu unaonyesha picha zote zinazopendekezwa kwa Kamusi ya Astronomia. Picha ziko hapa kwa upana wa 350px. Kwa mwonekano kubwa zaidi nenda hapa: Mtumiaji:Kipala/Astropics

  1. Jina la makala husika
  2. Maelezo ya picha jinsi yanavyoweza kuonekana chini ya picha
  3. chanzo ya picha & laiseni ya hatimiliki

(Vifupi ya maelezo kuhusu vyanzo na hatimiliki vinaweza kutajwa kw jumla)

Afeli
1. Sayari kwenye afeli yake 2. Sayari kwenye periheli yake 3. Jua (Pearson Scott Foresman © PD)
Angahewa
Tabaka za angahewa ya Dunia (Niko Lang © CC BY-SA 3.0 )
Apollo 11
Apollo-11: safari ya kwanza iliyofika mwezini mwaka 1969 (Neil A. Armstrong © PD-NASA)
Arinabu (kundinyota)
Kundinyota Arinabu (Lepus) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Asteroidi
253 Mathilde ni asteroidi yenye vipimo vya km 66×48×46 (NASA © PD)
Bakari (kundinyota)
kundinyota Bakari (Bootes) (CC BY 3.0 © IAU and Sky & Telescope magazine (Roger Sinnott & Rick Fienberg) [CC BY 3.0 Sidney Hall 1825])
Batiya (kundinyota)
Nyota za kundinyota Batiya (Crater) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Bikari (kundinyota)
Nyota za kundinyota Bikari (Circinus ) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Ceres
Ceres (Sayari kibete) ilivyopigwa picha na kipimaanga "Dawn" (NASA © PD)
Chombo cha anga-nje
Feri ya anga-nje Atlantis pamoja na kituo cha anga-nje MIR (NASA © PD-NASA)
Dajaja (kundinyota)
Kundinyota Dajaja (Cygnus) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Dalufnin (kundinyota)
Kundinyota Dalufnin (Delphinus) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Darubini 1
Darubinilenzi, Vienna (Prof. Franz Kerschbaum, Institut für Astronomie, Universität Wien © CC BY-SA 3.0 Unported)
Darubini 2
Darubini redio, Kitt Peak, Arizona, USA. (Jeff Mangum, NRAO © GNU 1.2)
Darubini (kundinyota)
Kundinyota Darubini (Telescopium) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Dhibu (kundinyota)
Kundinyota Dhibu (Lupus) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Dira (kundinyota)
Kundinyota Dira (Pyxis) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Dubu Mdogo (kundinyota)
Nyota za kundinyota Dubu Mdogo (Ursa Minor) (CC BY 3.0 © IAU and Sky & Telescope magazine (Roger Sinnott & Rick Fienberg))
Dubu Mkubwa (kundinyota)
Kundinyota Dubu Mkubwa (Ursa Major) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Dunia
Picha maarufu ya Sayari Dunia iliyopigwa Desemba 7, 1972 na kikosi cha wanaanga wa Apollo 17. (Apollo 17 © PD)
Ekliptiki
Obiti za sayari zote ziko kwenye bapa la ekliptiki, isipokuwa obiti ya Pluto imenama. (NikoLang © CC BY-SA 4.0 )
Farasi (kundinyota)
Kundinyota Farasi (Pegasus) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Farisi (kundinyota)
Kundinyota Farisi (Perseus) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Fungunyota
Fungunyota tufe ya Messier2 (NASA © PD)
Galaksi
Galaksi NGC 6814 inaonyesha umbo la parafujo (ESA/Hubble & NASA Acknowledgement: Judy Schmidt (Geckzilla) © PD)
Galaksi ya Andromeda
Galaksi ya Andromeda (NASA © PD)
Galileo Galilei
Galileo alivyoonyesha miezi ya Mshtarii kwa viongozi wa Venisi, Italia (Louis_Figuier © PD)
Ghurabu (kundinyota)
Kundinyota ya Ghurabu (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Globu ya nyota
Globu ya nyota ya Kiajemi mnamo 1750 (CC-BY-SA 4.0 © Muhammadahmad79 )
Hadubini (kundinyota)
Kundinyota Hadubini (Microscopium) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Hawaa (kundinyota)
Kundinyota Hawaa (Ophiuchus) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Hayya (kundinyota)
Ramani ya kundinyota Serpens au Hayya (CC BY-SA 3.0 © © 2003 Torsten Bronger)
Hudhi (kundinyota)
Kundinyota Hudhi (Auriga) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Hutu Junubi (kundinyota)
Kundinyota Hutu Junubi (Piscis Austrinus) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Jabari (kundinyota)
Kundinyota Jabari (Orion) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Jitu jekundu
Nyota jitu jekundu Dabarani, ikilinganishwa na Jua (Mysid © PD)
Johannes Kepler
Taswira ya Kepler (1610) (mchoraji hajulikani) © PD)
Jua
Muundo wa Jua (HeNRyKus © PD)
Kaa (kundinyota)
Nyota za Kaa, jinsi zilivyowazwa na msanii Hall (Sidney Hall 1825 © PD)
Kantarusi (kundinyota)
IAU Centaurus chart (CC BY 3.0 © IAU and Sky & Telescope magazine (Roger Sinnott & Rick Fienberg) [CC BY 3.0 Sidney Hall 1825])
Kasi ya Masakini (kundinyota)
Kundinyota Kasi ya Masakini (Corona Borealis) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Kasoko
Barringer Meteor Crater, Marekani (D. Roddy, U.S. Geological Survey © PD)
Ketusi (kundinyota)
Kundinyota Ketusi (Cetus) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Kifausi (kundinyota)
Kundinyota Kifausi (Cepheus) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Kilimia
Kilimia kinaonekana kama fungu la nyota angavu (Gonzalo Vicino © )
Kimondo
Vimondo vinavyong'aa angani; picha imechukuliwa kwa kufungua lenzi ya kamera kwa muda wa dakika kadhaa. Mistari mirefu ni njia za vimondo viliivyowaka katika kipindi hiki. (NASA © PD)
Kimondo cha Mbozi
Kimondo cha Mbozi (Gunnar Ries © CC BY-SA 2.0)
Kinyonga (kundinyota)
Kundinyota Kinyonga (Chamaeleon (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Kituo cha Anga cha Kimataifa
Kituo cha Anga cha Kimataifa (NASA/Crew of STS-132 © PD-NASA)
Kizio astronomia
Umbali wa Dunia hadi Jua ni kizio kimoja cha astronomia (https://commons.wikimedia.org/wiki/File:Kizio_astronomia.png © CC BY-SA 4.0)
Kobe (kundinyota)
Kundinyota Kobe (Corona Australis) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Kondoo (kundinyota)
Nyota za Kondoo, jinsi zilivyowazwa na msanii Hall (pamoja na nyota za Nzi - Musca) (Sidney Hall 1825 © PD)
kundinyota 1
Nyota za Jabari (Günter Seggebäing, Coesfeld © )
kundinyota 2
Nyota za Jabari zikiunganishwa na mistari (JA Galán Baho © )
kundinyota 3
Picha ya Jabari baada ya kuunganisha nyota zake na kumwaza mtu (PD)
Kupatwa kwa Jua
Aina mbili za kivuli wakati wa Kupatwa kwa Jua (Fastfission © PD)
Kupatwa kwa Mwezi
Mwezi huonekana mwekundu wakati wa kupatwa (Oliver Stein © CC BY-SA 3.0)
Kuruki (kundinyota)
Kundinyota Kuruki (Grus) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Madhabahu (kundinyota)
Nyota za kundinyota Madhabahu (Ara) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Mae Jemison
Mae Jamison, Mwamerika Mweusi alirushwa angani 1992 (NASA © PD-NASA)
Mapacha
Nyota za Mapacha, jinsi zilivyowazwa na msanii Hall (Sidney Hall 1825 © PD)
Mara (kundinyota)
Kundinyota ya Mara (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Mark Shuttleworth
Mark Shuttleworth kutoka Afrika Kusini kwenye ISS mwaka 2002 (NASA © PD-NASA)
Mashuke (kundinyota)
Nyota za Mashuke, jinsi zilivyowazwa na msanii Hall (Sidney Hall 1825 © PD)
Mawingu ya Magellan
Mawingu ya Magellan (kushoto chini), pamoja na Njia Nyeupe (P. Horálek/ESO © )
Mbuzi (kundinyota)
Nyota za Mbuzi, jinsi zilivyowazwa na msanii Hall (Sidney Hall 1825 © PD)
Mbwa Mdogo (kundinyota)
Kundinyota Mbwa Mdogo (Canis Minor) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Mbwa Mkubwa (kundinyota)
Kundinyota Mbwa Mkubwa (Canis Major) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Mbwa wawindaji (kundinyota)
Kundinyota Simba Mdogo na Mbwa Wavindaji ( Leo Minor / Canes Venatici) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Mbweha (kundinyota)
Kundinyota Mbweha (Vulpecula) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Mchoraji (kundinyota)
Kundinyota Mchoraji (Pictor) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Meza (kundinyota)
Kundinyota ya Mesa (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Mfumo wa Jua
Mfumo wa Jua (Source http://www.cbc.ca/kidscbc2/the-feed/exploring-planet-ceres, Author https://www.flickr.com/photos/11304375@N07/2818891443)
Mhindi (kundinyota)
Kundinyota Mhindi (Indus) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Mirihi
picha ya Mirihi kama ilivyochukuliwa na darubini ya anga-nje Hubble (NASA and The Hubble Heritage Team (STScI/AURA) PD © PD)
Mirihi uso
Uso wa Mirihi ni jangwa (Van der Hoorn, NASA © PD)
Mizani (kundinyota)
Nyota za Mizani, jinsi zilivyowazwa na msanii Hall (Sidney Hall 1825 © PD)
Mjusi (kundinyota)
Kundinyota Mjusi (Lacerta) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Mke wa Kurusi (kundinyota)
Nyota za kundinyota Mke wa Kurusi (Cassiopeia) (CC BY 3.0 © IAU and Sky & Telescope magazine (Roger Sinnott & Rick Fienberg) [CC BY 3.0 Sidney Hall 1825])
Mkuku (kundinyota)
Kundinyota Mkuku (Carina) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Mlipuko Mkuu
Upanuzi wa ulimwengu tangu mlipuko mkuu (Gnixon © PD)
Mng'aro wa Jua
Uhusiano baina joto kwenye uso wa nyota na mng'aro wake (European Southern Observatory (ESO) © CC BY-SA 4.0 )
Mshale (kundinyota)
Nyota za Mshale, jinsi zilivyowazwa na msanii Hall (pamoja na nyota za Darubini na Hadubini) (Sidney Hall 1825 © PD)
Mshtarii
picha ya mshtarii kama ilivyopigwa na chombo cassin (NASA/JPL/Space Science Institute PD © PD)
Mshtarii
Mshatarii na moja ya miezi yake (NASA/JPL PD © PD)
Munukero (kundinyota)
Kundinyota Munukeru (Monoceros) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Mwanaanga
Mwanaanga Piers Sellers nje ya chombo cha space shuttle tar. 12 Juni 2006 (NASA, Astronaut Michael Edward Fossum © PD-NASA)
Mwanafarasi (kundinyota)
Nyota za kundinyota Mwanafarasi (Equuleus ) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Mwezi
Uso wa Mwezi unajaa kasoko (阿爾特斯 , © CC BY-SA 3.0)
Mwezi mwandamo
Awamu za mwezi kuanzia mwezi mwandamo (1) kupitia hilali (2), robo ya kwanza, nusu mwezi, robo ya tatu, mwezi mpevu (5) hadi mwezi mwandamo tena (Pamplelune © CC BY-SA 3.0)
Nahari (kundinyota)
Kundinyota Nahari (Eridanus) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. )Stellarium, CC BY-SA 4.0)
Najari (kundinyota)
Nyota za kundinyota Najari (Sculptor) (CC BY 3.0 © IAU and Sky & Telescope magazine (Roger Sinnott & Rick Fienberg) [CC BY 3.0 Sidney Hall 1825])
NASA
Nembo ya NASA (NASA © PD-NASA)
Ndege wa Peponi (kundinyota)
Kundinyota ya Ndege wa Pepeoni (Apus) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. )Stellarium, CC BY-SA 4.0)
Ndoo
( © )
Neil Armstrong
Neil Armstrong, mtu wa kwanza Mwezini (NASA / Edwin E. Aldrin, Jr. © PD-NASA)
Neptuni
Sayari Neptuni (Neptune) inavyoonekana na Voyager 2 (Kevin Gill from Los Angeles, CA, United States [CC BY-SA 2.0 (https://creativecommons.org/licenses/by-sa/2.0)] © CC BY-SA 2.0)
Ngao (kundinyota)
Kundinyota Ngao (Scutum) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. )Stellarium, CC BY-SA 4.0)
Nge (kundinyota)
Nyota za Nge, jinsi zilivyowazwa na msanii Hall (Sidney Hall 1825 © PD)
Ng'ombe (kundinyota)
(Picha ya Ngombe kwenye kitabu cha Abd al-Rahman al-Sufi (903–986) © CC BY-SA 2.0 Generic)
Njia Nyeupe
Njia Nyeupe inaonekana vema pasipo na mianga duniani juu ya paoneanga ya ESO, Chile (ESO/S. Brunier © CC BY-SA 4.0 )
Njiwa (kundinyota)
Nyota za kundinyota Njiwa (Columba) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. )Stellarium, CC BY-SA 4.0)
Nukta msawazo
Nukta msawazo 1-5 (EnEdC © CC BY-SA 3.0)
Nyavu (kundinyota)
Kundinyota Nyavu (Reticulum) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. )Stellarium, CC BY-SA 4.0)
Nyoka Maji (kundinyota)
Nyota za kundinyota Nyoka Maji (Hydrus) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. )Stellarium, CC BY-SA 4.0)
Nyota nova
Mabaki ya wingu linaloendelea kupanuka tangu nyota GK Persei Farisi ilitazamiwa kuwaka kama nova mwaka 1902; picha ilipatikana kwa kuunganisha picha zilizopigwa katika upeo wa eksirei (buluu), nuru (njano) na wimbiredio (nyekundu); (X-ray: NASA/CXC/RIKEN/D.Takei et al; Optical: NASA/STScI; Radio: NRAO/VLA © PD)
Nyotamkia
Njia ya nyotamkia ikizunguka jua. Mkia huelekea mbali na jua kila wakati. (NASA © PD)
Nyotamkia ya Halley
Nyotamkia ya Halley mnamo 8 Machi 1986 kwa darubini (safari iliyopita ilipofikia periheli na kuwa karibu na Dunia). (NASA/W. Liller © PD)
Nywele za Berenike (kundinyota)
Kundinyota Nywele za Berenike (Coma Berenices) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. )Stellarium, CC BY-SA 4.0)
Nzi (kundinyota)
Kundinyota Nzi (Musca) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. )Stellarium, CC BY-SA 4.0)
Obiti
"Obiti ya gimba dogo (kama satelaiti au mwezi) linalozunguka gimba kubwa (kama sayari); ( © CC BY-SA 4.0 )
Obiti, Mzinga wa Newton
Mfano wa "Mzinga wa Newton": kani ya velositi ""v"" inataka kulipeleka mbele mbali na mahali pake; kani ya graviti ""a"" inalivuta kuelekea gimba kubwa; tokeo lake ni obiti ya kuzunguka." (Brian Brondel © CC BY-SA 3.0)
Pampu (kundinyota)
Kundinyota ya Pampu (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Paoneaanga
Paoneanga pa La Silla, Chile; kila jengo huwa na darubini kubwa (Hernan Fernandez Retamal, © )
Panji (kundinyota)
Kundinyota Panji (Dorado) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Panzimaji (kundinyota)
Kundinyota Panzimaji (Volans) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Paoneaanga
Paoneanga huwa mara nyini na kuba juu ya darubini (Manuelrealiza © CC BY-SA 4.0)
Paralaksi
Mfano wa paralaksi: kutegemeana na mahali pa mtazamaji kiolwa kinachotazamiwa kitaonekana mbele ya sehemu ya buluu au ya nyekundu ya mandharinyuma yake (JustinWick © CC BY-SA 4.0 )
Patasi (kundinyota)
Kundinyota Patasi (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Pembemraba (kundinyota)
Kundinyota Kipimapembe (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Pembetatu (kundinyota)
Kundinyota Pembetatu (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Pembetatu ya Kusini (kundinyota)
Kundinyota Kipimapembe (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Rakisi (kundinyota)
Kiswahili: Kundinyota Rakisi (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Roketi
Roketi za Kirusi aina ya Soyuz-U, huko Baikonur, Kazakistani. (NASA © PD-NASA)
Roskosmos
Nembo (RKA © PD)
Saa (kundinyota)
Nyota za kundinyota Saa (Horologium ) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Sagita (kundinyota)
Nyota za kundinyota Sagita (Sagitta) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Salibu
Salibu (Crux, Southern Cross) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Samaki (kundinyota)
Nyota za Samaki, jinsi zilivyowazwa na msanii Hall (Sidney Hall 1825 © PD)
Sayari
Sayari za mfumo wa Jua; ukubwa unaonyesha uwiano halisi kati ya sayari lakini umbali kati ya sayari hauonyeshwi. (Horst Frank © CC BY-SA 3.0)
Shaliaki (kundinyota)
Nyota za Shaliaki (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Shetri
(CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Shimo jeusi
Picha ya shimo jeusi kwenye kitovu cha Messier 87 (picha iliyounganishwa kutoka vipimo vingi) (Event Horizon Telescope © CC BY-SA 4.0)
Shuja (kundinyota)
(CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Simba (kundinyota)
Nyota za Simba, jinsi zilivyowazwa na msanii Hall (pamoja na nyota za Simba Mdogo) (Sidney Hall 1825 © PD)
Simba Mdogo (kundinyota)
(CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Spektra
Spektra ya mawimbi sumakuumeme; nuru tunaoona ni sehemu ya mawimbi haya (Kipala © CC BY-SA 4.0 )
Spektra 2
Mistari ya ufyonzaji zinaonyesha elementi zilizopo kwenye chanzo cha nuru (Stkl © PD)
Sputnik 1
Sputnik: chombo cha kwanza kilichozunguka Dunia kwenye anga-nje (NASA © PD-NASA)
Sudusi (kundinyota)
(CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Tanga (kundinyota)
Kundinyota ya Tanga (Vela) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Tanuri (kundinyota)
Kundinyota Tanuri (Fornax) (CC BY-SA 4.1 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Tausi
Kundinyota ya Tausi (CC BY-SA 4.2 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Thumni (kundinyota)
Kundinyota ya Tumni (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Tinini (kundinyota)
Kundinyota ya Tinini (Draco) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Tukani (kundinyota)
Kundinyota Tukani (Tucana) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Twiga
Kundinyota Twiga (Camelopardalis) (CC BY-SA 4.0 © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Ugasumaku
Ugasumaku wa Dunia ni kinga dhidi ya mnururisho mkali kutoka Jua (NASA © PD-NASA)
Ukabu (kundinyota)
: Kundinyota ya Ukabu (Aquila) ([CC BY-SA 4.0] © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Ukanda wa asteroidi
Ukanda wa asteroidi baina ya obiti za Mirihi na Mshtarii (Mdf © PD)
Ukanda wa Kuiper
Ugawaji wa magimba ya ukanda wa Kuiper (nukta kijani) *Nyekundu = Jua *Buluu-kijani = Sayari jitu za gesi *Kijani = Ukanda wa Kuiper *Kichungwa = magimba mbalimbali yaliyotawanyika *Dhambarau = Watroia wa Mshtarii *Njano = Watroia wa Neptuni Namba zinadokeza umbali kwa AU ( © )
Unajimu
Zodiaki ya Kiarabu (Max Planck Digital Library © PD)
Uranus
Sayari Uranus inavyoonekana na Voyager 2 (Kevin Gill from Los Angeles, CA, United States [CC BY-SA 2.0 (https://creativecommons.org/licenses/by-sa/2.0)] © CC BY-SA 2.0)
Usafiri wa anga-nje
Mwanaanga kazini pasipo na graviti kwenye Kituo cha Kimataifa cha Anga (NASA © PD-NASA)
Utaridi
Sayari Utaridi (Mercury) (NASA/Johns Hopkins University Applied Physics Laboratory/Carnegie Institution of Washington PD © PD)
Valentina Tereshkova
Meja Valentina Tereshkova kutoka Urusi alikuwa mwanaanga wa kwanza wa kike (RIA Novosti archive, image #612748 / Alexander Mokletsov / © CC-BY-SA 3.0)
Venera
Venera 7: kifaa cha kwanza kilichotua kwenye uso wa sayari nyingine (Stanislav Kozlovskiy © CC BY-SA 4.0)
Vostok
vostok 1: chombo cha kwanza kilichompeleka mtu kwenye anga-nje (stempu ya Azerbaijan) (Kh. Mirzoyev./Azermarka © PD Azerbaijan)
Voyager 1
Voyager 1, chomboanga cha kwanza kilichotoka nje ya Mfumo wa Jua (NASA © PD-NASA)
Washaki (kundinyota)
: Kundinyota Washaki (Lynx) ([CC BY-SA 4.0] © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Yuri Gagarin
Yuri Gagarin, mtu wa kwanza kwenye anga-nje (RIA Novosti © CC BY-SA 3.0 )
Zohali
Zohali na pete zake, zilivyoonekana kwa kamera ya Voyager 2 (Voyager 2 PD © PD)
Zoraki (kundinyota)
Kundinyota Zoraki (Phoenix) ([CC BY-SA 4.0] © 2004-2016 Fabien Chereau et al. Stellarium)
Zuhura
Picha ya rada inaonyesha uso wa Zuhura (NASA © PD)
Zuhura
Mwonekano wa kawaida wa Zuhura; mawingu hufunika uso wake (NASA © PD)