Mtumiaji:Kelvin-Meena

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kelvin Charles Meena

Kelvin Meena amezaliwa (22 Oktoba 2003 Kilimanjaro,Tanzania) ni mtengenezaji wa tovuti, programu za komputa(Computer Software) , Mwanamichezo na mchangiaji wa miradi mbalimbali ya shirika la Wikimedia kwa lugha ya kiswahili.