Nenda kwa yaliyomo

Mtumiaji:Barnaba Thadeo Mnyemwe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Barnaba Thadeo Mnyemwe ni mtanzania aliezaliwa mkoa wa Kigoma mnamo mwana 2001

Alianza shule ya msingi mwaka 2007 na kuhitimu 2014 katika shule ya msingi msebei

Alipata elimu ya secondary katika shule ya kata ambayo ni Ruchugi secondary kuanzia mwaka 2015 mpaka 2018 na Kupata daraja 4 ya 27

Kutokana na ugumu wa maisha ya wazazi hakuweza kuendelea na masomo akaamua kuanza harakati za biashara

Msimamo wangu na imani yangu hakuna lisilowezekana chini ya jua