Mto Olifants (Western Cape)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hii ni picha ya Mto Olifants unapita kati ya milima ya Cederberg kilomita kadhaa kutoka mto Citrusdal.

Mto Olifants (Western Cape) ni mto wa jimbo la Western Cape, Afrika Kusini.

Unaishia katika bahari ya Atlantiki.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika Kusini bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Olifants (Western Cape) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.