Mto Mponde (Singida)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Beseni la ziwa Sulunga (kijani).

Mto Mponde ni jina la mto wa mkoa wa Singida (Tanzania ya kati).

Mto huo hauelekei bahari wala ziwa lolote la kudumu, ila unaunda madimbwi mengi ya kinamasi cha Bahi (ziwa Sulunga).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]