Mto Mbezi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Mbezi ni kati ya mito ya mkoa wa Pwani (Tanzania mashariki).

Mto Mbezi unapita katika wilaya ya Ubungo ndani ya jiji la Dar-es-Salaam.

Hatimaye maji yake yanaingia Bahari Hindi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]