Mto Manonga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Manonga (pia: "Manyonga") ni mto wa mkoa wa Singida (Tanzania ya kati) unaotiririkia ziwa Kitangiri, isipokuwa miezi Juni hadi Novemba ambapo huwa umekauka kabisa.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]