Mto Kisigo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Kisigo ni mto wa Tanzania ya kati na ni tawimto la Ruaha Mkuu. Mto Kisigo unatokea mkoa wa Singida na kuingia katika Ruaha Mkuu kwenye lambo la Mtera.

Baada ya hapo Ruaha Mkuu unapitia tambarare ya Kilombero hadi kuishia katika mto Rufiji ambao unamwaga maji mengi katika bahari Hindi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]