Mto Faro

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani inayoonyesha bonde la mifereji ya maji ya Mto Benué. Mto wa Faro unaweza kuonekana kusini mwa hiyo.

Mto Faro ni mto uliopo nchini Nigeria.[1]

Chanzo chake kinapatikana kwenye uwanda wa juu wa Adamawa(kwa kiingereza: Adamawa Plateau) ambao unapatikana kusini-mashariki mwa mji wa Ngaoudere. Ni mto wa pembeni wa mto Benue.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]