Mtaro wa Kazinga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mtaro wa Kazinga unapatikana katika wilaya ya Kasese, nchini Uganda.

Ni mtaro asilia wenye urefu wa kilometa 32 unaounganisha ziwa Dweru na ziwa Edward. Kutoka huko maji yake yanaishia katika mto Naili na hatimaye katika Bahari ya Kati.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]