Mrouzia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mrouzia (kwa Kiarabu: المروزية) ni mojawapo ya vyakula muhimu zaidi Moroko. Pia inatayarishwa nchini Tunisia, lakini kwa njia tofauti.

Ni nyama tamu, ikichanganywa na mchanganyiko wa ras el hanout wa asali, mdalasini na mlozi

Mrouzia

Nchini Moroko, chakula hicho ni mojawapo ya vyakula vya kitamaduni vya sikukuu kubwa ya Waislamu Eid al-Adha (Sikukuu ya sadaka). Mara nyingi kwa wanyama wanaotolewa sadaka wakati wa sherehe ni kondoo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]